Skip to main content

Posts

Featured

PUNGUZA UNENE KWA RDF ASALI MBICHI NA LIMAU

RDF ASALI MBICHI NA LIMAU PUNGUZA UNENE KWA ASALI NA LIMAU Unene wa mwili wa kupita kiasi (obesity) ni miongoni mwa matatizo ya kiafya yanayowasumbua watu wengi. Kuna njia nyingi za kufanya ili kupunguza unene, yakiwemo mazoezi ya viungo na kutumia baadhi ya vyakula kimpangilio. Unene wa kupita kiasi ni hali inayomtokea mtu pale mafuta yanaporundikana kwenye ‘tishu’ za mwili hivyo kusababisha matatizo kwenye moyo, figo, ini, viungio vya mwili kama vile magoti, n.k.

wow seen this, it's amazing

Latest posts

RDF ASALI MBICHI na RDF MDALASINI NI TIBA BORA

HIVI NDIVYO IFANYAVYO KAZI ASALI MBICHI

WONDERS OF HONEY (PROFESSIONAL TALK)

HEALTH NEWS: KUANGALIA TV KWA MUDA MREFU KUNAWEZA KUKUUWA

URINE CAN SPEAK ABOUT YOUR HEALTH

SOURCE OF VIRGINAL FUNGUS AND ITS TREATMENT

FAIDA ZA MATUMIZI MAZURI YA KITUNGUU

Faida 7 za Juisi ya Nyanya

ZIJUE FAIDA KUMI NA NNE(14) ZA KUTUMIA MATANGO(CUCUMBER)

FAIDA YA MATUMMIZI YA KAROTI

be luck, see this